Sep 13, 2012

Ufunguzi Wa Jengo Jipya La Afisi Ya Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu Za Serikali Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akikata Utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo Jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akitoa hotuba katika Ufunguzi wa Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Fatma Mohd Saidi akitoa hotuba katika Ufunguzi wa Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hisabu Zanzibar wakiwa katika Hafla ya Ufunguzi wa Jengo lao Jipya huko Afisini kwao Maisara Mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akipata maelezo kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Fatma Mohd Saidi kuhusu namna ya kazi zitakavyofanyika ndani ya Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.

No comments: