Ufunguzi Wa Jengo Jipya La Afisi Ya Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu Za Serikali Zanzibar
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein
akikata Utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo Jipya la Afisi ya Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein
akitoa hotuba katika Ufunguzi wa Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Mkaguzi
na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Fatma Mohd Saidi akitoa hotuba
katika Ufunguzi wa Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.
Baadhi
ya Wafanyakazi wa Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hisabu Zanzibar
wakiwa katika Hafla ya Ufunguzi wa Jengo lao Jipya huko Afisini kwao
Maisara Mjini Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akipata maelezo kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Fatma Mohd Saidi kuhusu namna ya kazi zitakavyofanyika ndani ya Jengo jipya la Afisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali huko Maisara Mjini Zanzibar.