Nov 23, 2012

MIMI SI MTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA".....LORD EYEZ

Habari mpya  kutoka kwa Lord Eyez baada ya kuchonga nasi  kuhusiana na watu kumuhusisha na utumiaji wa Madawa ya kulevya aliweza kufunguka na kuweka wazi kwa  kusema,“Kiukweli mimi sijihusishi kabisa na utumiaji wa madawa ya kulevya na wala si support watu watumie kwani utumiaji wa madawa ni hatari ”- Lord Eyez.

No comments: