MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA MBEYA MH. DK MARY MWANJELWA ATEMBELEA KABURI LA KATIBU WAKE NA KUTOA POLE YA KIASI CHA SHILINGI MILION MOJA WILAYANI ILEJE MBEYA
Mheshimiwa mbunge viti maalumu mkoa wa Mbeya Dk Mary Mwanjelwa akilia juu ya kaburi la katibu wake Amina Mwashambwa alieteketea kwa moto katika ajali iliyotokea mwezi uliyopita mbalizi mbeya mweshimiwa mbunge alienda kuhani msiba huo huko ileje
No comments:
Post a Comment